Tuesday, April 23, 2013

TIMU YA SOKA YA VIJANA YA BIAFRA (BYFT) KUCHEZA MECHI YA KIRAFIKI DHIDI YA ETTIHAD FC KATIKA UWANJA WA S/M M'NYAMALA B LEO

Katika kujiandaa na michuano ya Copa Coca Cola na BIafra Cup, timu ya soka ya vijana ya Biafra, leo inakutana na Ettihad FC katika mechi ya kujipima nguvu itakayochezwa katika uwanja wa shule ya msingi Mwananyamala B majira ya saa 10:00 jioni.
Baadhi ya wachezaji wa BYFT wakipasha misuli joto

Golikipa wa BYFT Godwin maarufu Subwoofer


BYFT katika picha ya pamoja na viongozi wao

Shime wadau, wapenzi na mashabiki wa soka hasa la vijana tujitokeze kwa wingi katika kushuhudia mechi hiyo.

No comments:

Post a Comment