Tuesday, April 02, 2013

MATUKIO YA JOGGING JUMAMOSI TAREHE 30 MACHI, 2013

Kanuni ya kufanya mazoezi siku ya jumapili kwa wanabiafra ilitenguliwa rasmi baada ya kushirikiana na Namanga Jogging kufanya mazoezi ya pamoja siku ya jumamosi tarehe 30 Machi, 2013 ili kutoa fursa kwa wanachama wa vilabu hivyo ambao ni wakristo kuhudhuria ibada ya asubuhi ya Jumapili ya pasaka. Mazoezi hayo yaliyoandaliwa na kuratibiwa na klabu ya Namanga, yalianza na kuishi Leecarz Pub ambapo ni makao makuu ya Namanga Jogging. Fuatilia picha hapa chini.
Wanajogging wakikatiza barabara ya Ally Hassan Mwinyi kuelekea Leaders Club

 


No comments:

Post a Comment