Tuesday, July 30, 2013

MWANANYAMALA JOGGING KUFANYA UCHAGUZI MKUU TAREHE 25 AGOSTI, 2013

Katika pita pita ya mwandishi wa blogu hii ya Biafra kwenye magazeti ya Jumanne tarehe 30 Julai, 2013, amekutana na habari ya njema kuhusu uchaguzi wa mkuuwa viongozi wa klabu ya Mwnanyamala Jogging. Kwa mujibu wa mwandishi wa gazeti hilo la Tanzania Daima Bi. Elizabeth John, uchaguzi huo umepangwa kufanyika tarehe 25 Agosti, 2013 ambapo kabla ya uchaguzi huo zoezi la uchukuaji fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi linatarajiwa kufungwa tarehe 3 Agosti na usaili unatarajiwa kufanyika tarehe 8 Agosti, 2013.
Habari yenyewe ndio hii

Ally Salum "Chisco" Katibu Mkuu wa muda wa mwananyamala Jogging
Biafra Sports Club inawatakia mwananyamala Jogging Uchaguzi huru na wa haki.