Monday, June 11, 2012

MATUKIO KATIKA MECHI YA BIFRA KIDS DHIDI YA KOMBAINI YA KINONDONI

Katika kujiimarisha zaidi na kuongeza uzoefu wa mechi ngumu, timu ya Biafra Kids ilipokea na kukubali mwaliko wa kucheza na timu ya kombaini ya mkoa wa Kinondoni ambao wameteuliwa kutoka katika timu mbalimbali zilizoshiriki michuano ya Copa Coca Cola kwa vijana walio chini ya umri wa miaka 17 kanda ya Kinondoni. Mechi hiyo iliyochezwa katika viwanja vya Tanganyiksa Packers Kawe, siku ya J'mosi tare 9 Juni, 2012 illisha kwa Biafra Kids kupoteza mchezo huo baada ya kufungwa mabao 2 - 1.
KIKOSI CHA BIAFRA KIDS

KOMBAINI YA KINONDONI






Kocha wa Biafra Kids William Masika (kushoto) akiwa na viongozi wa Kombaini


No comments:

Post a Comment