Monday, June 18, 2012

VILABU KADHA VYA 'JOGGING' MKOA WA DAR ES SALAAM VYAKUTANA NA KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA NA TEMEKE JOGGING

Jumapili ya tarehe 17 Juni, 2012 ilikuwa ni siku njema kwa wanamichezo katika mkoa wa Dar es Salaam. Vilabu zaidi ya 15 vya michezo, hasa vinavyohamasisha mchezo wa mbio za pole pole "jogging" vilifanya mazoezi ya pamoja kwa mwaliko wa klabu kongwe ya Temeke. Wanamichezo zaidi ya mia sita walikusanyika katika uwanja wa Taifa na saa 12:30 asubuhi walianza safari ya kuelekea Mbagala katika ukumbi wa Dar-Live kisha katika viwanja vya Zakheem kwa mchezo wa mpira wa miguu.
Biafra Jogger wakiongoza msafara wa wana-jogger


Biafra Kids wakiongoza Biafra Jogger








Baadhi ya wanakunduchi Kwanza





Makamu Mwenyekiti wa Biafra Ms. Jacqueline Barozi akiingia Darlive



Mwenyekiti wa Biafra (mwenye bukta ya bluu) akishiriki aerobics



Wanabiafra walioshiriki mazoezi katika picha ya pamoja ndani ya Darlive Mbagala


No comments:

Post a Comment