Sunday, April 14, 2013

JOGGING YA WANABIAFRA JUMAPILI TAREHE 14 APRILI, 2013 YANOGA

Wanabiafra wengi, wakubwa kwa wadogo leo wamejitokeza mapema asubuhi kwa ajili ya jogging ambayo iliwakusanya pamoja zaidi ya wanamichezo 70. Jogging lianzia klabuni na kuingia barabara ya Kawawa kuelekea Moroko, kisha barabara ya Mwai Kibaki hadi Viktoria kuelekea Mwanayamala hospitali, Mwananyamala A hadi studio, Barabara ya Kawawa tena na kuishia klabuni. Baada ya kufika klabuni wanajogging walifanya 'aerobis kwa zaidi ya dakika 50 kisha kuendelea na shughuli nyingine. Futailia picha chini.
Chris Katembo akiimbisha na kuongoza



Tunawapongeza wanabiafra na wadau wengine wote wlaiojitokeza kwa mazoezi ya leo, tunawakaribisha wengine wengimjiunge na klabu yetu. 

WE, WE, MAZOEZI NI AFYA, ACHA KUJIACHIA!!!

No comments:

Post a Comment