Monday, February 13, 2012

ZAMBIA YATWAA UBINGWA WA 'CAN 2012'


'Tumekuja kwenye fainali hizi tukiamini kwamba tunaweza kushinda na baada ya ushindi wa mechi yetu ya kwanza tulijua kabisa kwamba hii ndio njia yetu ya kuwa mabingwa wa Afrika'. Hii ni kauli ya Kennedy Mweene,  golikipa mahiri wa timu ya taifa ya Zambia almaarufu Chipolopolo ambayo aliitoa jana wakati akihojiwa na waandishi wa habari mara baada ya timu yake kuibwaga timu ya taifa ya Ivory Coast kwa mikwaju ya penati katika fainali hiyo.

Golikipa wa Zambia Kennedy Mweene akidaka mpira kichwani mwa Gervinho





No comments:

Post a Comment