Tuesday, February 07, 2012

MICHUANO YA 'CAN 2012' YAELEKEA UKINGONI


Kwa wale mashabiki wa soka, hasa soka ya barani Afrika, tunafahamu kabisa kwamba michuano ya 'CAN 2012' inayoendelea huko 'Equatorial Guinea na Gabon inakaribia kabisa kufikia ukingoni ambapo fainali ya michuano hiyo inatarajiwa kufanyika mnamo Februari 12, 2012 nchini Gabon. Chini hapa nimekuwekea ratiba ya michuano hiyo kuanzia hatua ya robo fainali. 

Wapi unatupa karata yako? Tabiri upate zawadi! Michezo ni Afya, michezo ni ushirikiano na upendo.

Robo Fainali
25.
04/02/2012
17H:00
Bata
26.
04/02/2012
20H:00
Malabo
27.
05/02/2012
17H:00
Libreville
28.
GHANA 2-1 TUNISIA
05/02/2012
20H:00
Franceville

Nusu Fainali
29.
ZAMBIA vs. GHANA
08/02/2012
17H:00
Bata
30.
MALI vs. COTE D'IVOIRE
08/02/2012
20H:00
Libreville

Mechi za kutafuta mshindi wa tatu
31.
Timu iliyopoteza Mechi Na. 29 vs. Timu iliyopoteza Mechi Na.30
11/02/2012
20H:00
Malabo

Fainali
32.
Timu iliyoshinda Mechi Na. 29 v Timu iliyoshida Mechi Na. 30
12/02/2012
20H:00
Libreville

1 comment:

  1. Kombe hili ni la ghana, tangazeni zawadi mtakazotoa tuweke karata zetu bwana.

    ReplyDelete