Tuesday, March 19, 2013

YALIYOJIRI KWENYE BBQ NA MARAFIKI WA UKWELI IJUMAA YA TAREHE 15 MACHI 2013

Katika kuendeleza mahusiano mazuri na kuwa na wakati mzuri kwa marafiki wa ukweli, ijumaa juma lililopita ilikuwa ni siku ni sik nzuri kwa marafiki waliojumuika pamoja katika kuianza wikiendi. Ili kuweza kuifanya jioni hiyo kuwa nzuri zaidi, wadau walioshiriki walijipatia fursa ya kupata mbuzi choma (BBQ) pamoja na vinywaji pale Chimbinga Unique Pub huku wakiburudishwa na muziki maridhawa kwa ajili ya jioni hiyo toka kwa dj.
Baadhi ya wadau waliofika mapema Chimbinga


Wadau waki-show love

Dj akipanga mambo yake

Mbuzi nayo ikiendelea kuiva


tayari imeiva

Mama Chimbinga - Rose Mwakibugi (mwenye rasta) akishuhudia maandalizi ya BBQ

Wadau wakipata supu ya utumbo wa mbuzi!

Muda wa mlo ukawadia

Chit-Chat and Networking ikiendelea
Wadau wakionesha upendo
Wadau walipendekeza tukio liwe linafanyika kila ijumaa ya mwisho ya wa mwezi na taarifa ziwafikie mapema ili waweze kujiandaa vya kutosha ikiwemo kuwakilisha uchakavu wao kwa wahusika!

No comments:

Post a Comment