Friday, June 21, 2013

BIAFRA SPORTS CLUB NA KUNDUCHI KWANZA KUFANYA MAZOEZI YA JOGGING PAMOJA JUMAPILI TAR 23 JUNI, 2013

Katika kuimarisha uhusiano baina ya vilabu vya michezo hasa vinavyohamasisha mchezo wa mbio za pole pole (jogging), wanamichezo toka vilabu vya Biafra na Kunduchi Kwanza wameazimia kufanya mazoezi ya Jogging pamoja siku ya jumapili tarehe 23 Juni, 2013. Mazoezi hayo yataratibiwa na klabu ya Kunduchi Kwanza ambako ndiko yatapofanyikia . 
Michael Silili (mwenye vuvuzela) akihamasisha kwa wimbo
Wananchi na wakaazi wote wa maeneo ya kunduchi mnakaribishwa kujumuika pamoja katika jogging siku hiyo. 

No comments:

Post a Comment