Wednesday, October 24, 2012

PONGEZI KWA MWANABIAFRA ROSE MWAKIBUGI KWA BIRTHDAY ILIYOPENDEZA

Wanabiafra pamoja na marafiki mbalimbali walijumuika pamoja katika sherehe ya kustukiza "suprise" ya kuzaliwa kwa mwnabiafra mwenzao Mrs. Rose Mwakibugi ambayo iliandaliwa na mwanabiafra mwingine ambaye pia ni mume wa bi Rose, kaka Robert Mwakibugi.
Keki ya Birthday
Katika kufungua sherehe hiyo Robert Mwakibugi alitumia fursa kwa kumpongeza mke wake kwa kutimiza miaka kadhaa tangu kuzaliwa kwake na pia kwa upendo alionao kwake yeye mwenyewe pamoja na familia yao kwa ujumla. 
Mr.s Rose Mwakibugi - birthday girl akiwa ofisini kwake Chimbinga Unique Pub akishangaa yanayojiri                  
Wanabiafra kutoka kushoto Robert Mwakibugi, Yahya Poli, Rose Mwakibugi, na Jaqueline Barozi

Robert Mwakibugi akimlisha mkewe Rose Mwakibugi keki ya upendo

Bw. na Bi. Mwakibugi wakimlisha keki mtoto wa Habil ambaye pia ni mwanachama wa Biafra



Kwa upendeleo maalum, kwa niaba ya wanabiafra Makamu M/Kiti Bi. Jacqueline Barozi allilishwa keki na Rose mwakibugi akisaidiana na M/Kiti Abdul Mollel

Birthday girl akipongezwa
 
Mwamabiafra Henry Maseko akitoa mkono wa pongezi

Wanabiafra Henry Maseko kushoto na King A.Y. Mpore 
KWA NIABA YA WANACHAMA WOTE KLABU INATOA PONGEZI KWA BI ROSE MWAKIBUGI KWA SHEREHE YAKE YA BIRTHDAY, TUNAMTAKIA MAISHA MAREFU YENYE FURAHA, AMANI NA MAFANIKIO. KATIBU MKUU, BIAFRA SPORTS CLUB

No comments:

Post a Comment