Monday, October 22, 2012

MAZOEZI YA MBIO ZA POLE POLE JANA JUMAPILI YAWAKUTANISHA TENA WANABIAFRA

Kama ilivyo ada, Wanabiafra kila jumapili hujikusanya na kufanya mazoezi ya mbip za pole pole (jogging) kuzunguka maeneo mbalimbali ya Kinondoni. Mazoezi ya jana yaliwakutanisha zaidi ya wanachama 30 wa Biafra ambao wakubwa kwa wadogo. 
Mwenyekiti wa Kamatu ya Uchumi Ibrahim kilasa (mwenye miwani) akikimbia pamoja na watoto

Hujachelewa kujiunga na klabu yetu, karibu sana!

No comments:

Post a Comment