Monday, September 24, 2012

TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA

Klabu ya Michezo ya Biafra pamoja na wadau wake wote wanaungana kwa pamoja katika msiba wa mama mdogo wa mwanachama wake Bi. Betty Mdeka ambaye ni mjumbe katika kamati ya Uchumi, Mipango na Fedha ya Klabu.Shughuli za mazishi zinafanyika nyumbani kwa marehemu maeneo ya Sinza Legho na maziko yatafanyika katika makaburi ya Kinondoni tarehe 24 Septemba, 2012.
Bi Happy Mdeka kushoto akiwa na mwanachama wa namanga jogging

Kwa pamoja tunamuomba mwenyezi mungu amtie nguvu mwanachama mwenzetu na pia mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amen!

No comments:

Post a Comment