Monday, December 24, 2012

SALAAM ZA KRISMASI NA MWAKA MPYA TOKA BIAFRA!

Wakati wakristo wakiwa katika maandalizi ya sikukuu ya kuzaliwa mwokozi, Yesu kristo mnamo tarehe 25 Disemba pamoja na maandalizi ya kuuaga mwaka 2012 na kuukaribisha mwaka 2013, klabu ya michezo ya Biafra inapenda kuwatakia wanachama, wapenzi, mashabiki pamoja na wadau wote wa michezo krismasi njema pamoja na heri ya mwaka mpya 2013.

Katika kipindi hiki cha mapumziko ya sikukuu, mazoezi yataendelea kila jumapili kama kawaida! Karibuni wote.

No comments:

Post a Comment