Wednesday, November 02, 2011

KARIBU UPATE BURUDANI YA RIDDY SOUND SIKU YA IJUMAA TAREHE 4/11/2011 NDANI YA 90 DEGREES PUB KINONDONI

RICHIE RICHIE - MZEE WA RIDDY SOUND IN THE HOUSE

Baada ya mchakato wa kuandika Katiba ya Biafra Sports kukamilika, wanachama wa Biafra Sports Club kwa kushirikiana na uongozi wa 90 Degrees Pub (ambapo ndipo makao makuu ya klabu) unayofuraha kuwaalika wananchi wote na wana-jogging toka klabu za Temeke, Kunduchi, Namanga, Makongo na kwingineko tujumuike pamoja na kupata burudani ya muziki mwanana toka katika bendi ya Riddy Sound chini ya uongozi wa Richie Richie (pichani juu). Burudani hiyo itaanza saa 1 kamili usiku na kuendelea. Karibuni tupongezane baada ya kazi ngumu na muhimu!!!!!!
ENEO LA TUKIO - 90 DEGREES PUB

WOOOOOOOOOOOOOOTE MNAKARIBISHWA

No comments:

Post a Comment