Sunday, September 18, 2011

MAN U VS CHELSEA AT 90 DEGREES PUB KINONDONI 18/09/2011

Ni kama anasema "hapa matokeo ya mechi anayajua katibu"

Nina furaha kuwa shabiki wa Simba na Man U

Mdau Godlove Makima a.k.a sleepophobia aki-text matokeo ya mechi


Yanga/Chelsea vs Simba/Manu

Baada ya Torres kukosa goli la wazi kabisa, aliamua kuacha skafu yake kitini

Beki wa Biafra Kids Fotball Club na shabiki wa Man U Patrick Nyaboroga .aka. Kone akiwa na furaha baada ya mechi kwisha kwa ushindi mnono wa Man U

No comments:

Post a Comment