Saturday, October 29, 2011

BIAFRA JOGGING NA NAMANGA JOGGING NDANI YA TEMEKE

Robert Mwakibugi (mwenye tracksuit nyekundu) akiwakilisha Biafra Jogging

Emmi Msechu (mwenye usongo) akiwakilisha Biafra Jogging

Wadau wa Namanga Jogging

Timu ya ngumi ya Temeke Jogging

Mbio za pole katika barabara ya uhasibu - temeke

Baadhi ya viongozi wa Namanga Jogging wakito shukrani kwa wanatemeke jogging



Dada Mary - Katibu wa Namanga Jogging

BIAFRA JOGGING NA NAMANGA JOGGING NDANI YA TEMEKE

Dada Mtumwa wa Temeke Jogging akiongoza mbio za pole

Ibrahim Mpore aka King A.Y. Mpore (mwenye fulana ya bluu) akiwakilisha Biafra Jogging

Watoto nao hawakuachwa nyuma

Ally Masharubu (mwenye bukta nyeusi) akiwakilisha Biafra Jogging

Kutoka Kushoto Henry Maseko (Biafra Jogging), Charles (Namanga Jogging) A. Mollel (Biafra Jogging

Baadhi ya viongozi na wanachama wa Biafra Jogging wakitoa shukrani kwa Temeke jogging

Wednesday, October 19, 2011

KUNA UMUHIMU WA MATAYARISHO YA MWILI (WARM UP) KABLA YA KUANZA MAZOEZI

WANAJOGGING WAKIFANYA "WARM UP" KABLA YA KUANZA MBIO

"Warm Up" husaidia kuuweka mwili tayari kwa ajili ya mazoezi. Vilevile husaidia kuongeza kasi ya usambazaji wa damu katika viungo pamoja na misuli ya mwili pamoja na kuupa mwii joto kwa matayarisho ya mazoezi utakayofanya ambayo husaidia kulainisha viungo vyako vya mwili, hata hivyo husaidia kulainisha mishipa inayopeleka damu kwenye moyo na kusaidia kulinda misuli isipate madhara pamoja na mifupa.

pia, husaidia kuongezeka upatikanaji na usambazaji wa hewa ya oksijeni mwilini hasa kwenye misuli na mishipa ya fahamu.

TUWASHIRIKISHE WATOTO WETU KWENYE MAZOEZI

KAKA MOPAO AKIONGOZA KWARIDE LA WANAMAZOEZI